MASHABIKI YANGA WAPEWA SOMO KUELEKEA WIKI YA WANANCHI
TAYARI mambo yameanza ndani ya Yanga ambapo mashabiki wa sehemu mbalimbali wameanza kujipanga kuelekea kwenye wiki ya Wanachi.Uongozi wa Yanga umesema kuwa Julai 28 itakuwa ni maalumu kwa wana Yanga wote nchini kufanya masuala ya usafi na kupanda miti.Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela amesema kuwa lengo ni kuweka historia itakayokumbukwa daima.Tayari mashabiki wa Yanga wameanza maandalizi ambapo wanachama...
TFF YATIA TIMU KIGALI KUIPA SAPOTI AZAM FC
WALLACE Karia, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameitaka Ttmu ya Azam FC kufanya vema kwenye mchezo wa fainali ya michuano ya Kagame itakayochezwa leo dhidi ya KCCA.Karia amefika kwenye kambi ya Azam Fc iliyopo nchini Rwanda Hotel ya Hilltop akiongozanna na Kaimu Makamu wa TFF Athuman Nyamlani na Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano Msafiri Mgoyi.Karia pia alitumia fursa...
TULIINGIA DARASANI KWA TAMBWE, SASA NI ZAMU YA BALINYA, URIKHOB KUTUPA KITABU KINGINE
Na Saleh AllyYANGA imesajili washambulizi wawili wapya, mmoja kutoka Uganda na mwingine nchini Namibia na wote, waliwahi kukataliwa na Simba.Sadney Urikhob ni raia wa Namibia ambaye aliwahi kuichezea Simba kwa dakika 45 ikiwa ni Kocha Patrick Aussems akitaka kumuona baada ya kufanya naye mazoezi kwa siku mbili.URIKHOBUrikhob aliichezea Simba kwa muda huo bila ya kufunga bao lakini akaonyesha ni...
AZAM FC: TUNALIPA KISASI KWA KCCA LEO, TUNABEBA KOMBE
ETTIENE Ndayiragije Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa leo watapambana kulipa kisasi mbele ya KCCA katika mchezo wa fainali ya kombe la Kagame nchini Rwanda.Azam na KCCA zilikuwa kundi moja ambapo katika mchezo wa hatua za makundi uliozikutanisha timu hizo Azam ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0."Awali tulifungwa kwa kuwa kikosi hakikuwa na muunganiko kwa sasa tumetengamaa na tupo...
SIMBA: MSIMU UJAO MOTO UTAWAKA, TUTAPAMBANA KUFIKIA MALENGO
BENO Kakolanya mlinda mlango wa Simba amesema kuwa msimu ujao watapambana kufikia malengo waliyojiwekea kutokana na aina ya kambi waliypo kwa sasa. Simba ipo nchini Afrika Kusini na wanafanya mazoezi kwenye uwanja wa Royal Bafokeng Sports Complex mjini Rutenburg.Kakolanya amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa na matumaini yao ni kufanya makubwa msimu ujao."Kambi ipo salama na tunaendelea vizuri, ushirikiano...
YANGA YATAJA KINACHOMKWAMISHA KIPA MPYA WA KENYA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kilichomchelewesha mlinda mlango wao mpya, Farouk Shikalo kujiunga na timu hiyo ni makubaliano yao na timu yake ya zamani ya Bandari FC.Shikalo amesajiliwa na Yanga kwa kandarasi ya miaka miwili anatarajiwa kujiunga na timu ya Yanga iliyopo Morogoro muda wowote kuanzia sasa.Mratibu wa Yanga, Hafidh Saleh amesema kuwa taratibu zote zimekamilika hivyo muda wowote...
HICHI NDICHO KILICHOWAFELISHA SENEGAL AFCON 2019
NYOTA wa timu ya Taifa ya Senegal, Sadio Mane amesema kuwa kilichowaponza washindwe kutwaa kombe la Afcon mwaka 2019 ni kushindwa kutumia nafasi walizozipata.Senegal imetinga hatua ya fainali ya michuano ya Afrika mara mbili na imeambulia patupu muda wote.Mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 2002 na ilifungwa na Cameroon kwa penalti nchini Mali na fainali yake ya pili ikafungwa...
REAL MADRID YATAKA BALE ASEPE, ZINEDINE APEWA JUKUMU HILO
MENEJA wa Real Madrid, Zinedine Zidane amesema kuwa hana tatizo na mchezaji wake Gareth Bale ila klabu inahitaji asepe ndani ya kikosi hicho ifikapo kesho."Tunamatuamaini anaweza kuondola ndani ya kikosi muda si mrefu na itakuwa furaha kwa kila mmoja ndani ya timu tunafanya kazi suala la uhamisho wake kwenda timu nyingine sasa."Sina tatizo naye binafsi ila ni lazima hili...
NYOTA MPYA ANAYETAJWA KUWINDWA NA SIMBA ANAZIONEA NYAVU ZA WAPINZANI KINOMA
JUSTIN Shonga mshambuliaji wa kikosi cha timu ya Orlando Pirates mwenye miaka 22 ni mkali wa kutupia akiwa ndani ya timu yake ya Taifa ya Zambia. Rekodi zinaonyesha kuwa nyota huyo mwenye uzito wa kg 65 kwa mwaka 2017-18 amecheza jumla ya mechi 18 na amepachika jumla ya mabao 1 ndani ya timu ya Taifa.Kwa sasa anatajwa kuwindwa na...
LIVERPOOL YAMKINGIA KIFUA MANE KUTIMKIA MADRID
SADIO Mane nyota wa Liverpool amekingiwa kifua na mabosi zake hao juu ya suala lake la kuhitajika na kikosi cha Real Madrid.Mane ambaye ni nyota pia ndani ya kikosi cha timu ya Taifa cha Senegal ametupia jumla ya mabao matatu na alikosa penalti mbili kwenye michuano ya Afcon iliyomalizika nchini Misri, ilielezwa kuwa anahitajika na Madrid.Liverpool imesema kuwa haijafanya...