ZINEDINE ZIDANE AIKACHA KAMBI KUTOKANA MATIZO YA KIFAMILIA
ZINEDINE Zidane meneja wa Real Madrid ameondoka katika kambi ya timu hiyo kwa dharula na kurejea nchini Canada kutokana na kupata matatizo ya kifamilia.Meneja msaidizi David Betton kwa sasa ana jukumu la kusimamia mazoezi ya timu hiyo katika kipindi ambacho Zidane hatakuwepo.Uongozi wa Madrid umesema kuwa kwa kipindi ambacho hatakuwepo timu itakuwa chini ya Betton."Kwa kipindi ambacho hatakuwepo timu...
NIGERIA V SENEGAL NI MOTO WA KUOTEA MBALI LEO
KUMEKUCHA leo vita nyingine ya nusu fainali kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri ni kati ya Nigeria dhidi ya Algeria utakaopigwa majira ya saa 4:00 usiku uwanja wa kimataifa wa Cairo.Timu zote zimejipanga kiasi cha kutosha kutinga hatua ya fainali hivyo mchezo wa leo hautakuwa na wepesi hata kidogo.Wapinzani hawa tayari wameshawahi kumenyana mara nane kwenye michuano ya...
SENEGAL NA TUNISIA BONGE MOJA YA VITA YA KISASI LEO AFCON
MICHUANO ya Afcon bado inazidi kunoga ambapo kwa sasa ni hatua ya nusu fainali na Senegal itamenyana na Tunisia ni miongoni mwa mechi tamu na ngumu.Rekodi zinaonyesha kwamba mpaka sasa tayari Senegal na Tunisia zimemenyana mara tano kwenye michuano ya Afcon hivyo leo ni vita ya kisasi.Kwenye mechi zote hizo tano hakuna mbabe kwani walitoka sare mara tatu huku...
BOURNEMOUTH WAJANJA KWELI, WAIPA ARSENAL WINGA KWA HESABU
RYAN Fraser winga wa Bournemouth huenda akatua ndani ya kikosi cha Arsenal kwa ajili ya matumizi ya msimu ujao.Mkataba wa winga huyo mwenye umri wa miaka 25 unatarajiwa kuisha mwishoni mwa msimu ujao.Bournemouth wamepiga hesabu na kuona bora wamuuze kwa sasa kuliko msimu ujao ambapo wanaweza wasiambulie kitu kwa kumuacha akiwa mchezaji huru mwakani.
KWASI WA SIMBA HUYOO ANUKIA LIPULI
ASANTE Kwasi aliyekuwa beki wa zamani wa Mbao FC na Simba kwa sasa yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya kikosi chake cha zamani Lipuli.Ofisa Habari wa Lipuli, Clement Sanga amesema kuwa hakuna tatizo kwa Kwasi kurejea ndani ya kikosi hicho endapo ataona inampendeza."Lipuli ni klabu bora ambayo haibagui wachezaji wenye uwezo ama wale ambao wanaona ni sehemu sahihi...
UHONDO WA TAMASHA LA FAITH BAPTIST KUNOGESHWA NA YANGA
TIMU ya Yanga inatarajiwa kucheza na klabu ya Mawenzi Market mchezo wa kirafki katika Tamasha Kubwa la Faith Baptist Church linalotarajiwa kufanyika Julai 28 uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Huu unakuwa ni mwaka wa tano kwa tamasha hilo kufanyika mkoani Morogoro.Mratibu wa Tamasha hilo, Mchungaji, Jerry Wyatt amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi uwanjani hapo."Kwa miaka minne tumekuwa na mechi kati...
TANZANIA PRISON YATAJA SABABU YA KUANZA KAMBI MAPEMA
ADOLF Richard Kocha wa Mbeya City amesema kuwa tayari timu imeingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa mwaka 2019-20 unaotarajiwa kuanza Agosti 23.Richard amesema kuwa malengo ya kuingia kambi mapema ni kuandaa kikosi chenye ushindani msimu mpya."Msimu uliopita hatukuwa na matokeo chanya kwenye matokeo yetu hivyo tumeamua kuanza kambi mapema kuondoa yale makosa ya msimu uliopita."Msimu...
AZAM FC: ROBO FAINALI SI MCHEZO, TUTAPAMBANA
MABINGWA watezi wa kombe la Kagame Azam FC baada ya kutinga hatua ya robo fainali wameanza kujiwinda kuelekea kwenye mchezo wa robo fainali utakaochezwa Julai 16 dhidi ya Rayon Sport ya Rwanda.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Maganga amesema kuwa hatua ya robo fainali ni ngumu kwani timu itakayofungwa inatolewa jumla kwenye michuano."Kazi yetu kubwa...
ZAHERA AMPA YONDANI KITAMBAA CHA AJIBU
Imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga yupo mbioni kumrejeshea kitambaa cha unahodha beki Kelvin Yonddani.Hatua hii imekuja mara baada ya aliyekabidhiwa kitambaa hicho, Ibrahim Ajibu kutimkia Simba ambako amesaini mkataba wa miaka miwili.Taarifa zinasema Zahera ameamua kufikiria kumrejeshea tena Yondan baada ya kumpoka siku za hivi karibuni kutokana na makosa ya kinidhamu.Yondani ambaye pia aliwahi kuichezea Simba sasa kuna...
UKURASA WA MBELE WA GAZETI LA SPOTI XTRA LEO JUMAPILI, HUKO SIMBA KUMENOGA
Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra katika ukurasa wa mbele leo Jumapili.