ISHU YA KUBORONGA KWA BODI YA LIGI, MASAU AIBUKA, SIMBA YATAJWA

0

BAADA ya jana bodi ya Ligi kuweka usawa na kukubali kwamba wameboronga kwenye suala la kukusanya data za matokeo ya mchezo wa Stand United na Kagera Sugar kisha kuishusha Kagera Sugar kabla ya kuipanisha tena Uongozi wa Ruvu Shooting umeibukia huko.Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ameandika waraka huu kuhusu sakata la kuboronga kwa Bodi ya Ligi Tanzania:-"Kumekuwepo...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi.

YANGA SASA NI BALAA, SIBOMANA AMWAGA WINO WA MIAKA MIWILI YANGA

0

Klabu ya Yanga imeendelea kuonesha makucha yake baada ya kumalizana na kiungo Patrick Sibomana kutoka Rwanda.Yanga imezidi kuboresha kikosi chake kutokana na wachezaji wengi kumaliza mikataba yao msimu huu uliomalizika.Sibomana anakuwa mchezaji wa tatu kumwaga wino Yanga baada ya Papy Tshishimbi na Issa Bigrimana kumalizana na timu hiyo.Usajili huu umekuwa pendekezo la Kocha Mwinyi Zahera ambaye amekabidhiwa majukumu ya...

WANNE WATAJWA KUONDOKA SIMBA

0

Imeelezwa kuwa uongozi wa klabu ya Simba umepanga kuwatoa kwa mkopo nyota wake watatu akiwamo mshambuliaji, Adam Salamba, anayekwenda kukipiga nchini Ureno.Taarifa imeeleza kuwa Salamba ambaye alisajiliwa na Simba msimu huu akitokea Lipuli FC kwa dau la Sh milioni 40.Mchezaji huyo amekosa namba ya kudumu katika kikosi hicho cha Msimbazi kinachonolewa na kocha, Patrick Aussems, kutokana na kushindwa kumudu...

EXCLUSIVE: STRAIKA RWANDA ASAINI YANGA MIAKA MIWILI

0

Kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Rwanda, Issa Bigirimana amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu ya Yanga akitokea klabu ya APR ya Rwanda.Usajili huo umefanyika kutokana na pendekezo la Kocha Mwinyi Zahera ambaye amepewa majukumu yote hivi sasa ya kuchagua wachezaji.Huyu anakuwa mchezaji wa pili wa Yanga baada ya kumalizana na Tshishimbi aliyeongeza pia miaka miwili.Usajili umeendelea kushika kasi...

KAULI YA KWANZA NZITO YA JACQUELINE KWA MAREHEMU DKT. MENGI

0

MKE wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, marehemu Dkt. Reginald Mengi, Jacqueline Ntuyabaliwe,  kwa mara ya kwanza tangu msiba huo ulipotokea, ameingia mtandaoni na kuposti ujumbe kuhusu aliyekuwa mumewe huyo.Kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika maneno haya mazito:Today we would have been celebrating you,if I close my eyes I can see how you would have smiled...

RAIS FIFA AIPONGEZA SIMBA KUTWAA UBINGWA

0

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), ameipongeza Simba kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu

TAARAB NCHINI YAPATWA NA PIGO, MAMA MZANZI WA ISHA MASHAUZI AFARIKI DUNIA

0

Muimbaji wa taarab nchini Bi. Rukia Juma, ambaye pia ni mama mzazi wa msanii Isha Mashauzi, amefariki dunia leo Mei 29, 2019 akiwa njiani kuelekea hospitali ya taifa Muhimbili kwaajili ya matibabu.

Dili la Ajibu limefufuka, TP Mazembe warudi tena

0

Baada ya TP Mazembe kuachana na usajili wa Ibrahim Ajib Migomba wiki hii kwa madai ya kutoelewana wao na mchezaji.TP Mazembe wamerudi tena upya kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Ibrahim Ajib tena kwa Mara nyingine tena.Inasemekana mwanzoni TP Mazembe walitoa of a ya mshahara wa Dola za kimarekani 4,000 kwa mwezi, mshahara ambao Ibrahim Ajib aliukataa.Kwa...