TANZANIA PRISON YATAJA SABABU YA KUANZA KAMBI MAPEMA

0

ADOLF Richard Kocha wa Mbeya City amesema kuwa tayari timu imeingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa mwaka 2019-20 unaotarajiwa kuanza Agosti 23.Richard amesema kuwa malengo ya kuingia kambi mapema ni kuandaa kikosi chenye ushindani msimu mpya."Msimu uliopita hatukuwa na matokeo chanya kwenye matokeo yetu hivyo tumeamua kuanza kambi mapema kuondoa yale makosa ya msimu uliopita."Msimu...

AZAM FC: ROBO FAINALI SI MCHEZO, TUTAPAMBANA

0

MABINGWA watezi wa kombe la Kagame Azam FC baada ya kutinga hatua ya robo fainali wameanza kujiwinda kuelekea kwenye mchezo wa robo fainali utakaochezwa Julai 16 dhidi ya Rayon Sport ya Rwanda.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Maganga amesema kuwa hatua ya robo fainali ni ngumu kwani timu itakayofungwa inatolewa jumla kwenye michuano."Kazi yetu kubwa...

ZAHERA AMPA YONDANI KITAMBAA CHA AJIBU

0

Imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga yupo mbioni kumrejeshea kitambaa cha unahodha beki Kelvin Yonddani.Hatua hii imekuja mara baada ya aliyekabidhiwa kitambaa hicho, Ibrahim Ajibu kutimkia Simba ambako amesaini mkataba wa miaka miwili.Taarifa zinasema Zahera ameamua kufikiria kumrejeshea tena Yondan baada ya kumpoka siku za hivi karibuni kutokana na makosa ya kinidhamu.Yondani ambaye pia aliwahi kuichezea Simba sasa kuna...

UKURASA WA MBELE WA GAZETI LA SPOTI XTRA LEO JUMAPILI, HUKO SIMBA KUMENOGA

0

Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra katika ukurasa wa mbele leo Jumapili.

KAGERE AWAFUNGUKA MABOSI WAKE KWA KITENDO CHA KUMSAJILI KAHATA

0

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere, amesema kitendo cha uongozi wa timu hiyo kumsajili kiungo Francis Kahata, basi mashabiki wa timu hiyo watarajie moto mkubwa kutoka kwao kutokana na kujuana vizuri.Kagere ametoa kauli hiyo zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kikosi hicho kwenda kuweka kambi nchini Afrika Kusini Juni 15, mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya...

TANZANIA PRISONS KUMCHOMOA MSHAMBULIAJI MMOJA WA SIMBA

0

NYOTA wa Simba, Marcel Kaheza kwa sasa yupo kwenye hatua za mwisho kujiunga kwenye kikosi cha Tanzania Prisons.Kaheza amemalizana na AFC Leopards ya Kenya alikokuwa anakipiga kwa mkopo kwa sasa yupo Dar habari zimeeleza kuwa anawinwa na Prisnons.Mmoja wa kiongozi wa Tanzania Prisons amesema kuwa walianza kufanya mazungumzo na Kaheza kabla ya kutua Simba akitokea MajiMaji FC."Tulianza kufanya mazungumzo...

KIPA MPYA YANGA AIPA UBINGWA MAPEMA

0

MLINDA Mlango mpya wa Yanga, Metacha Mnata amesema kuwa hana hofu na changamoto mpya ambazo atazipata ndani ya kikosi chake hicho.Mnata amejiunga na Yanga kwa kandarasi ya miaka miwili akitokea klabu ya Mbao FC."Najua kazi ni kubwa msimu mpya na nipo ndani ya Yanga kwa kuwa kazi yangu ni mpira, sina mashaka na kipaji changu nitapambana kufanya vema na...

AZAM FC YACHEKELEA KUTINGA ROBO FAINALI

0

UONGOZI wa Azam FC umechekelelea kutinga hatua ya robo fainali baada ya timu ya KCCA kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Mukura FC.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC Jaffari Maganga amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kupenya hatua hiyo kutokana na ushindani uliopo."Tumepata fursa ya kupenya robo fainali baada ya KCCA kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya...

MANCHESTER UNITED YAFUTA KABISA MPANGO WA KUMUWINDA LEMINA

0

MANCHESTER United imefutilia mbali nia yao ya kutaka kumsajili kiungo wa Southampton, Mario Lemina mwenye umri wa miaka 25.Kiungo huyo amekuwa akihusishwa kutua ndani ya United pia anapigiwa hesabu na Arsenal.Inaripotiwa ilikuwa ikimuwinda chinichini staa huyo mzaliwa wa Gabon ambaye hajasafiri na Southampton kwenye mechi za maandalizi za maandalizi ya msimu mpya, dau lake linatajwa kuwa pauni milioni 30.

SIMBA RAHA AISEE, BAADA YA KUSAINI MIAKA MIWILI GADIEL AONESHA NDINGA YA MAANA

0

Baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba SC, beki Gadiel Michael ameweka hadharani ndinga yake mpya kupitia ukurasa wake wa Instagram kama inavyonnekana hapo juu.