Habari za michezo

Browse all posts in this category.

Habari za michezo

Aston Villa Yaishtaki FIFA Kwa CAS

LONDON, ENGLAND: ASTON Villa yaifikisha FIFA Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) baada ya kuzuiwa kumsajili chipukizi Brian Madjo. Klabu ya Aston…

Jul 3, 2026
Habari za michezo

Riyad Mahrez Atundika Daluga

DALLAS, MAREKANI: MKONGWE Riyad Mahrez ametangaza kustaafu kuchezea timu ya taifa dakika chache baada ya Algeria kutolewa kwenye Kombe la Dunia. Nyota…

Jul 3, 2026
Habari za michezo

Vyuma Vitano Mlangoni Arsenal

LONDON, ENGLAND: ARSENAL wanaweza hata kufikia matumizi yao ya rekodi ya Pauni 250 milioni walizotumia kwa ajili ya usajili wa wachezaji katika…

Jun 30, 2026
Habari za michezo

Argentina Yazindua Sanamu La Messi

NEUQUEN, ARGENTINA: ARGENTINA imezindua sanamu ya Messi yenye uzito wa tani 70, ikiwa ni kubwa zaidi duniani ambayo inalenga kuvutia watalii katika…

Jun 29, 2026
Habari za michezo

Nyota Barca Aichomolea Man United

BARCELONA, HISPANIA: MANCHESTER United imepata majibu kuhusu uwezekano wa kiungo chipukizi wa Barcelona, Marc Bernal, kujiunga nayo katika dirisha hili la usajili,…

Jun 29, 2026