Trending Stories
View All
EDEN HAZARD APATA KIGUGUMIZI KUTOFAUTISHA PREMIER LEAGUE NA LA LIGA
EDEN Hazard mchezaji wa Real Madrid ambaye leo ametambulishwa rasmi baada ya kukamilisha utaratibu wa uhamisho kutoka kikosi cha Chelsea…
NYOTA WA AFRIKA WANAOKIPIGA PREMIER KATIKA NAMBA NA MABAO WALIYOPACHIKA KWENYE TIMU ZAO ZA TAIFA
MOHAMED Salah kwenye michuano ya Afcon ambayo inatarajiwa kuanza Juni 21 anashika namba moja kwa mastaa wanaokipiga Premier League.Anapeperusha Bendera…
DULLY SYKES AMTAJA ALIYEMTUNGIA NGOMA YAKE YA NIKOMESHE
MKONGWE katika gemu la Bongo Fleva, Dully Sykes, amesema kuwa ngoma yake mpya ya Nikomeshe hajaitunga yeye bali ni ubunifu…
RATIBA EPL 2019/20 YATOKA, MAN U KUANZA NA CHELSEA
MABINGWA wa Ligi Kuu England, Manchester City wataanza kutetea ubingwa wao dhidi ya West Ham wakati Manchester United itafungua ligi…
MAZITO YA OFISA MTENDAJI MKUU CRESCENTOUS MAGORI, BUNJU, MABADILIKO VYATAJWA
Jana tarehe 12 June kilifanyika kikao cha Bodi ya Simba Sports Club Company Limited. Kikao hiki kilifikia maazimio mbali mbali…
KUPOTEZA MVUTO KWA KAGAME KUNA JAMBO LA KUJIFUNZA, BADO WACHEZAJI WANA DENI KWA TAIFA
TUMEONA timu mbili kubwa hapa bongo ambazo ni Simba na Yanga, zimejitoa mashindano ya Kagame Cup ambayo mtetezi wake ni…
BEKI KISIKI YANGA AOMBA KWENDA ULAYA
BEKI wa timu ya Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema kuwa kwa sasa mipango yake ni kupata nafasi ya kucheza nje…
KAMA WAMEKWATA KWA MAAMUZI YA KOCHA INAPENDEZA, TUINGE MKONO TIMU YETU YA TAIFA
MIAKA 39 si jambo jepesi kuamini kwamba ilikatika bila Taifa letu kuwa na mwakilishi kwenye michuano ya Afcon na hatimaye…
MIMBA YA MPENZI WA DIAMOND YAWA GUMZO
ANAFICHA mimba! Ndivyo walivyosikika mashabiki waliomuona mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch kutokana…
HII HAPA LIST YA WACHEZAJI WA ZAMANI WA YANGA WALIOTHIBITISHA KUSHIRIKI KUBWA KULIKO
1. Mwanamtwa Kihwelo 2. Mohamedi Kampira 3. Makumbi Juma4. Mohamedi Hussein5. Saidi Maulidi6. Kenny Mkapa7. Petar Tino8. Selemani Kabulu9. Ally Yusuph Tigana10.…
NDAYIRAGIJE AVUNA MIL 180 AZAM
FUNDI ni fundi tu. Ettiene Ndayiragije amesaini Azam Fc na jana ametambulishwa rasmi akilamba kiasi cha Sh 180 milioni.Ndayiragije alionyesha…
Kandanda.co.tz ipo pamoja na Taifa Stars
Kuanzia leo hadi michuano itakapomalizika ya kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2019, Inayofanyika nchini Misri, Logo ya Kandanda katika…
NI SIMANZI!! TARMBA AFIWA NA MTOTO WAKE MWINGINE USIKU HUU
Ndugu zangu, mtoto wangu mwingine Aliasgher Tarimba Abbas, amefariki muda huu.Maziko kesho saa 12.30 katika Msikiti wa Shia Ithnaasheri mjiniKaribuni…
YANGA YANASA KIFAA KIPYA KUTOKA ZANZIBAR, AZAM WAINGILIA
Imeelezwa kuwa klabu za Azam na Yanga zimeanza kuwania saini ya mchezaji bora wa ligi kuu Zanzibar msimu 2018/19, Abdulswamad…