Home Uncategorized EXCLUSIVE: KAPOMBE AONGEZA MIAKA MIWILI MIWILI SIMBA

EXCLUSIVE: KAPOMBE AONGEZA MIAKA MIWILI MIWILI SIMBA


Beki wa kulia wa Simba Shomari Kapombe ameongeza mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo.

Makubalia hayo hayo yamefikiwa baina ya klabu ya mchezaji kuendelea kutoa huduma kwa miaka miwili ijayo.

Kapombe ambaye msimu uliomalizika hivi karibuni haukuwa mzuri kutokana na kusumbuliwa na majeruhi atakuwa mmoja wa wachezaji watakaoendelea na Simba msimu ujao.

Simba wameendelea kuwaongezea mkataba wachezaji wao ambao wameshamaliza na wanahitaji kuwa nao kwa sasa.

SOMA NA HII  FRAGA AWEKA AHADI NYINGINE SIMBA