MTIBWA Sugar wameanza kazi ya usajili msimu huu baada ya kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji kutoka African Lyon, Awadh Salum.
Salum ni nyota pia ndani ya kikosi cha timu ya Taifa chini ya miaka 23 msimu ujao atakuwa ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar.
Huu ni usajili wa kwanza kwa Mtibwa Sugar ambao msimu uliopita walishiriki kombe la Shirikisho Afrika.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.