KIKOSI cha Simba leo kinacheza mchezo wake wa mwisho wa kirafiki wa kufunga hesabu dhidi ya Orlando Pirates nchini Afrika Kusini.
Mchezo huo ambao ni maalumu kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao utachezwa majira ya jioni kabla ya kesho kuanza safari kurejea Dar.
Leo kikosi kilisafiri kutoka ilipo kambi yao maeneo ya Rustenburg mpaka Johannesburg sehemu watakayocheza leo.
Patrick Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema lengo kubwa la michezo hiyo ni kuunda muunganiko bora kwa ajili ya msimu ujao.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.