OBREY Chirwa, nyota wa Azam FC ndiye mcheka nyavu anayewakimbiza wote ndani ya klabu hiyo kwa kutupia mabao.
Azam FC ikiwa imefunga mabao 37 yeye amefunga mabao nane huku kinara wa kutupia akiwa ni Meddie Kagere wa Simba mwenye mabao 19.
Kocha Mkuu wa Azam FC, Arstica Cioaba amesema kuwa bado kasi ya washambuliaji wake haimfurahishi kwani wanakosa nafasi nyingi za wazi jambo linalimpasua kichwa.
Azam FC ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi zake 54 kibindoni baada ya kucheza mechi 28.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.