Home Authors Posts by admin

admin

24371 POSTS 9 COMMENTS

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA BETIKA, LIPO MTAANI BURE...

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la BETIKA, lipo mtaani, nakala yake ni bure kabisa

NEEMA YAZIDI KUMIMINIKA NDANI YA YANGA

0
NEEMA imezidi kumiminika ndani ya uongozi wa Yanga baada ya mlinzi wa zamani wa Yanga, Ahmed Amasha kuukabidhi uongozi wa timu hiyo vifaa mbalimbali...

JUMA ABDUL, YONDANI MAMBO SAFI YANGA, DANTE MAMBO BADO

0
BAADA ya Juma Abdul na Kelvin Yondani kumalizana na Yanga sasa kazi moja imebaki kumrejesha kikosini Andrew Vincent 'Dante'.Abdul, Yondani na Dante ni mabeki...

YANGA YAIFUATA CAF ISHU YA MAJEMBE MATATU KUIVAA TOWNSHIP ROLLERS

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umejipanga kwafuata wapinzani wao Township Rollers kishujaa kwa kuongeza majembe matatu ya kazi.Makamu Mwnyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela amesema...

MCHEZAJI SIMBA ACHUKUA NAFSI YA BEKI AFRIKA KUSINI

0
HATIMAYE aliyekuwa beki wa Simba, Mghana Asante Kwasi amejiunga na Baroka FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini timu aliyokuwa akiitumikia Mtanzania, Abdi Banda...

YANGA YAPOKEA VIFAA VYA SOKA VYENYE THAMANI YA MILIONI TATU

0
Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Yanga, Ahmed Amasha, leo ametembelea makao makuu ya klabu hiyo na kutoa zawadi ya vifaa mbalimbali vya soka.Amasha ametoa...

GUNDOGAN ACHEKELEA KUBAKI NDANI YA MANCHESTER CITY

0
IIKAY Gundogan, kiungo mshambuliaji wa Manchester City bado yupo sana ndani ya kikosi hicho.Gundogan ameongeza kandarasi ya kuitumikia klabu hiyo ambapo atadumu mpaka mwaka...

MASTAA 6 WAPYA KUPINDUA MEZA YANGA

0
UKOSEFU wa mechi ngumu na za maana za kimataifa jana kuliiponza Yanga na kujikuta wakilazimisha sare ya usiku ya bao 1-1 mbele ya mashabiki...

KIMENUKA MADRID, ZIDANE NA RAIS WAKE HAKUNA MAELEWANO, NYOTA EPL ATAJWA

0
Kitendo cha Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez kushindwa kukamilisha harakati za kumsajili kiungo Mfaransa anayekipiga kunako Manchester United, Paul Pogba kimeanza...

KOCHA MANCHESTER UNITED YADAIWA CHANZO LUKAKU KUSEPA

0
IMEELEZWA kuwa Romelu Lukaku hakuwa na amani ndani ya kikosi cha Manchester United kutokana na kutibuana na Kocha Msaidizi wa timu hiyo kabla ya...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS