Trending Stories
View All
WACHEZAJI YANGA WAPIGWA STOP KULA CHIPSI
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wameshauriwa kuacha kula vyakula vyenye mafuta mengi ili kuepuka kuongezeka uzito…
KOCHA SIMBA: WACHEZAJI WASIOFANYA MAZOEZI WANAZIFELISHA TIMU
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa kwa kipindi hiki kigumu cha maambukizi ya Virusi vya Corona wachezaji ambao…
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE WA GAZETI LA SPOTIXTRA LIPO MTAANI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SpotiXtra Jumapili, nafasi ya kushinda kwa jero tu ni yako
VIDEO:NAMNA SHINDANO LA JISHINDIE GARI ILIVYOTINGA KITAA
YANGA YAMVUTIA KASI NYOTA ANAYEKIPIGA NDANI YA CONGO, MAMBO NI MOTO
INAELEZWA kuwa bosi mmoja wa GSM anatarajiwa kupanda ndege hadi nchini DR Congo kwenda kumalizana na winga wa AS Vita,…
ISHU YA BEKI WA COASTAL UNION KUIBUKIA SIMBA IPO NAMNA HII
BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Coastal Union amesema kuwa hana hiyana iwapo kikosi cha Simba kitahitaji saini yake. Inaelezwa kuwa mabosi…
HERITIER MAKAMBO AINGIA ANGA ZA YANGA TENA
HERITIER Makambo, nyota wa zamani wa Yanga inaelezwa kuwa yupo kwenye hesabu za kurejea ndani ya kikosi hicho kuongeza nguvu…
METACHA: KOCHA SIMBA ALIVYONIAMBIA NITOKE GONGO LA MBOTO SAA 10 USIKU
NAJUA nimekuwa gumzo kubwa kutokana na maendeleo ambayo nimekuwa nikianza kuyapata taratibu katika mchezo wa soka, ndio maana hata ukiwauliza…
WAKATI WA YANGA, SIMBA KUJIFUNZA KUPITIA JANGA LA CORONA
NA SALEH ALLY ITAKUWA si vibaya kukumbusha mambo ambayo tunaamini yatakuwa na msaada katika maendeleo ya mpira wetu nchini. Bila…
TUJIFUNZE NAMNA MADINI YA AJIBU YALIVYOMALIZIKIA BENCHI…
Na Saleh Ally HAKUNA anayelalamika kuhusiana na kiwango cha mshambuliaji Ibrahim Ajibu Migomba kupitia kipaji, badala yake ni neno moja…
ATLETICO MADRID, MANCHESTER UNITED ZAINGIA ANGA ZA BARCELONA
KLABU ya Barcelona ipo kwenye mpango wa kumuuza kiungo wao Ivan Rakitic kwa dau la pauni milioni 17 msimu huu…
CHOMOKA NA GARI YAZIDI KUNOGA
MAMBO ni yente kila kona ya nchi kwa lugha ya vijana wa kisasa kufuatia kushika kasi kwa promosheni namba moja…
KAGERE: WANANIITA MZEE ILA NINAWAFUNGA
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa wanaomuita mzee hawashangai kwani wanampa nguvu ya kupambana kufunga akiwa uwanjani. Kagere kabla…
RONALDINHO AMTAJA ANAYEMKUBALI KATI YA MESSI NA CR 7
RONALDINHO de Assis Moreira nyota wa zamani wa timu ya Brazil anaamini kuwa kati ya Cr 7 na Messi bora Messi.Nyota…
SABABU YA MNATA KUTUA YANGA HII HAPA
METACHA Mnata, mlinda mlango namba mbili wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya ajiunge ndani ya Yanga ni ushindani wa…
BEKI TANZANIA PRISONS: TUNAKOSA UHURU KWA SASA
NYOTA wa timu ya Tanzania Prisons, Salum Kimenya amesema kuwa kwa sasa wanapitia kipindi kigumu kutokana na kutopata uhuru wa…