Trending Stories
View All
MUONEKANO WA UKURASA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi, nafasi ya kushinda ndinga ni yako
MENEJA WA MAKAMBO AMRUHUSU KUTUA YANGA
KOCHA wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera, amesema kuwa kama kweli klabu hiyo inataka kumrejesha mshambuliaji wao wa zamani, Heritier…
GALLAS: NINAWEZA KUCHEZA NDANI NA NJE YA BONGO
WILLIAM Lucian, ‘Gallas’ beki wa kuliwa wa Polisi Tanzania amesema kuwa ana uwezo wa kucheza popote ndani ya Bongo na…
BARCELONA WAINGIA ANGA ZA KUIWNDA SAINI YA NYOTA WA UNITED GOMES
GOMES Angel nyota anayekipiga ndani ya Manchester United amewekwa kwenye rada na Barcelona. Kinda huyo anayekipiga ndani ya United mkataba…
YANGA SASA KUFUATA JEMBE JINGINE LA KAZI AS VITA
INAELEZWA kuwa Yanga imeingia kwenye anga za kuiwinda saini ya Rossein Tuisila Kisinda. Winga huyo mwenye umri wa miaka 20 anakipiga…
UBINGWA WA LIVERPOOL MASHAKANI IWAPO MSIMU WA 2019/20 UTAFUTWA
IWAPO msimu wa 2019/20 wa Ligi Kuu England ukifutwa, Liverpool inabidi isahau kutwaa ubingwa licha ya kwamba inaongoza ikiwa na…
ALICHOKISEMA AUSSEMS KUHUS JONAS MKUDE
ALIYEKUWA Kocha wa Simba SC, Patrick Aussems amemtaja Jonas Mkude kuwa ni miongoni mwa wachezaji muhimu ambao waliifanya timu hiyo…
MHARIRI WA MAGAZETI YA GLOBAL GROUP AWASHUKURU WALIOMTAKIA MEMA SIKU YA KUMBUKIZI YAKE YA KUZALIWA
SIFAEL Paul, mhariri wa Magazeti Pendwa ya Global Group, leo amefanyiwa bonge moja ya ‘surprise’ na Uongozi wakati akitimiza miaka…
KOCHA TANZANIA PRISONS: TUZIDISHE DUA TUTOKE KWENYE JANGA LA CORONA
ADOLF Rishard, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons amesema kuwa kwa wakati huu tuliopo ni muhimu kwa watanzania kuzidisha dua ili…
PACHA YA BOCCO NA KAGERE ILIANZA KUNOGA
NAHODHA wa Simba, John Bocco na mshambuliaji Meddie Kagere walianza kutengeneza pacha nzuri kwa kutengeneza urafiki na nyavu kabla ya…
MBELGIJI WA SIMBA HESABU ZAKE ZIPO NAMNA HII
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa bado kuna mambo hayajakamilika ndani ya Simba kutokana na malengo waliyojiwekea hivyo…
KOCHA MANCHESTER UNITED AWATAKA WACHEZAJI KUWATUMIA WAKE ZAO KUFANYA MAZOEZI
OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United amewataka wachezaji kutumia muda huu wa mapumziko kupata ushauri kutoka kwa wapenzi wao,…
ABDI BANDA: TUNAPIGA MATIZI KAMA KAWAIDA
ABDI Banda nyota wa Tanzania anayekipiga ndani ya Klabu ya Highlands Park inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini amesema kuwa wanapiga…
NIYONZIMA AGOMEA KUSTAAFU KUCHEZA SOKA
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa sasa hana mpango wa kustaafu kucheza mpira kutokana na uwezo wake…
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa UKURASA wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI IJUMAA