Trending Stories
View All
AZAM FC KAMILI GADO KUWAVAA WAETHIOPIA KIMATAIFA
KIKOSI cha Azam FC kimeendelea na maandalizi ya kukata na shoka kwa ajili ya michuano ya kimataifa pamoja na Ligi…
ABDI BANDA AACHANA NA BAROKA FC
ABDI Banda beki wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga soka la kulipwa Baroka FC ya Afrika Kusini amewaaga mashabiki…
ZAHERA BALAA AFUNGA USAJILI NA KIFAA HIKI, HATMA YA OKWI NDANI YA SIMBA NI KESHO CHAMPIONI JUMATANO
BALAA la Zahera ndani ya Yanga na ishu ya Emmanuel Okwi ndani ya Simba habari kamili ni kesho ndani ya…
TFF: KESHO TUNAFUNGA JUMLA ZOEZI LA USAJILI
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa kesho ndio mwisho wa usajili kwa wachezaji wa ndani. Akizungumza na Saleh Jembe,…
PATRICE EVRA, NYOTA WA ZAMANI WA MANCHESTER UNITED ATUNDIKA DALUGA
Beki wa kushoto wa Manchester United na Ufaransa Patrice Evra ametangaza rasmi kustaafu soka la ushindani..Beki huyo mwenye miaka 38…
NAHODHA STARS: WALILAZIMISHA SARE KWETU NASI TUNAKWENDA KUSHINDA KWAO
JUMA Kaseja, nahodha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa nafasi ya kushinda kwa timu nchini Kenya ipo…
NYOTA WA SIMBA NA YANGA AJIUNGA NA TIMU YA PRO LINE
HAMIS Kiiza nyota wa zamani wa klabu zote mbili kubwa zenye maskani yake Kariakoo, Simba na Yanga amejiunga na timu…
ZAHERA WA YANGA KUSHUSHA JEMBE MOJA LA KAZI
MWINYI Zahera Kocha Mkuu wa Yanga, leo ameanza rasmi kukinoa kikosi chake ambacho kimeweka kambi mkoani Morogoro.Zahera amesema kuwa kwa…
RATIBA YA KUKUSANYA KIJIJI YA YANGA IPO NAMNA HII
TIMU ya Yanga kuelekea siku ya Mwananchi ambayo inatarajiwa kuwa Agosti 4 uwanja wa Taifa ambapo watacheza na mabingwa wa…
SIMBA LEO KUFUNGA HESABU NA ORLANDO PIRATES
KIKOSI cha Simba leo kinacheza mchezo wake wa mwisho wa kirafiki wa kufunga hesabu dhidi ya Orlando Pirates nchini Afrika…
SADNEY AKIWASHA YANGA IKIMPIGA MTU BAO 2-0, MORO
Sadney Urknob leo amekiwasha kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Friends Ranger uliochezwa uwanja wa Highland Park kwa kufunga moja…
SABABU ZA SIMBA KUREJEA KESHO HIZI HAPA
CRESCENTIUS Magori, Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba amesema kuwa jeshi kamili la Simba linatarajiwa kurejea kesho kutoka Afrika…
DOZI YA KMC KUIWINDA AS KIGALI NI MARA MBILI KWA SIKU
ANWAR Binde, Ofisa Habari wa klabu ya KMC amesema kuwa kwa sasa vijana wanazidi kutengamaa kuelekea mchezo wao wa kimataifa…
AZAM FC WAANZA KUIWINDA FASIL KENEMA
ETTINE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya michuano ya kimataifa pamoja na…
BEKI RUGAN WA JUVENTUS KUTUA ARSENAL KWA MKOPO
DANIELE Rugan yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na klabu ya Arsenal kwa mkopo akitokea ndani ya kikosi cha Juventus.Beki huyo…
MBEYA CITY KUFUNGUA KAZI NA TANZANIA PRISONS
JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa kazi kubwa wanayo msimu ujao kwa kuwa hesabu zao ni kufanya…