Trending Stories
View All
DUH! BARCELONA WAMFUNGIA VIOO NEYMAR JUMLAJUMLA
JOSEP Bartomeu Rais wa Barcelona amesema kuwa klabu yake haina mpango wa kujaribu kupata saini ya kumpata mchezaji Neymar JR…
ITAZAME VIDEO YA VANESSA MDEE-MOYO
FUKUTO LA MO NDANI YA SIMBA LIMEFIKIA HAPA
BAADA ya kuzuka ghafla kwa taarifa kuwa ndani ya uongozi wa Klabu ya Simba hakuna maelewano huku ikidaiwa mwekezaji klabuni…
WACHEZAJI YANGA WACHELEWESHA KUANZA KWA KAMBI
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa mpango mkubwa wa kuweka kambi upo mikononi mwa wachezaji wa kigeni na ndani…
KOCHA SIMBA ATAJA KINACHOMFELISHA IBRAHIM AJIBU
KOCHA wa zamani wa kikosi cha Simba na Dodoma FC, Jamhuri Khiwelu ‘Julio’ amesema kuwa nyota mpya wa Simba, Ibrahim…
NYOTA WA SIMBA KUTIMKIA NAMUNGO FC
MOHAMED Rashid mshambuliaji wa Simba inawezekana msimu ujao akakipiga kwenye klabu mpya ya Namungo.Rashid amekuwa hana nafasi kubwa ndani ya…
PRESHA YA MENEJA MPYA WA CHELSEA LAMPARD IPO NAMNA HII
MENEJA mpya wa Chelsea, Frank Lampard amesema kuwa anatambua presha kubwa ya bosi wa kikosi hicho, Roman Abramovich hasa timu…
KMC YAPANIA KUFANYA KWELI RWANDA
UONGOZI wa KMC umesema kuwa utaitumia michuano ya kombe la Kagame kwa ajili ya kujiaandaa na michuano ya kimataifa pamoja…
YANGA YAPINDUA MEZA USAJILI WA GADIEL
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Dk Mshindo Msolla amezungumzia mjadala wa usajili wa beki wa pembeni, Gadiel Michael na kutoa…
ASKARI AJIUA KISA MKWEWE
MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji…
AZAM FC: TUNAPAMBANA KWA AJILI YA TAIFA KAGAME
KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wachezaji watapambana kupata matokeo chanya kwenye michezo yote ili kurejea na…
POGBA NOMA, KUPELEKA NYOTA WAWILI NDANI YA UNITED
REAL Madrid wajanja sana wameamua kuwapa wachezaji wawili mabosi wa Manchester United ili kuipata saini ya kiungo wao Paul Pogba.Imeelezwa…
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi
SENEGAL YAKIRI MUZIKI WA UGANDA ULIKUWA WA MOTO
LICHA ya kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda kwenye mchezo…
KAGERA SUGAR: MSIMU UJAO TUTATISHA
KOCHA wa kikosi cha Kagera Sugar, Meky Maxime amesema kuwa kwa sasa wamejipanga kufanya usajili makini utakaowafanya walete ushindani ndani…
DILI LA AFRIKA KUSINI LAWA GUMU KWA DIDA WA SIMBA
DEOGRATIUS Munish ambaye ameachana na Simba baada ya kumaliza kandarasi yake ya mwaka mmoja amesema kuwa kwa sasa bado hajajua…