admin
MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED WANA JAMBO LAO FEBRUARI MOSI
MASHABIKI wa timu ya Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu England wamepanga kutumia dakika 58 kufanya matembezi kwa pamoja nje ya Uwanja wa Old Trafford...
SIMBA YATAJA SABABU YA KUIFUNGA MWADUI FC LEO
HAJI Manara Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa sababu kubwa ya Simba kushinda mchezo huo ni kuongeza nguvu kwenye mradi wao wa kuingiza mashabiki...
LISTI KAMILI YA WACHEZAJI WA YANGA NA MAJINA YA VIONGOZI WAO...
Farouk ShikaloAlly MtoniKelvin YondaniFei TotoMapinduzi BalamaMohammed BankaPatrick SibomanaJuma AbdulRamadhan KabwiliAli AliMrisho NgassaAbdulaziz MakameJafari MohammedPapy TshishimbiLamine MoroPaul GodfreyDeus KasekeVincent AndrewMetacha MnataDitram NchimbiTariq SeifYikpe GnamienAdeyum Saleh...
AZAM FC BANA, WAIVUTIA KASI FRIENDS RANGERS
MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho, Azam FC, Jana wameanza mazoezi ya kuivutia kasi timu ya Friends Rangers kuelekea kwenye mchezo wao wa hatua...
MUUAJI WA SIMBA APANIA KUWAUMBUA TENA LEO UHURU
MSHAMBULIAJI wa Mwadui FC, Gerald Mdamu amesema kuwa akipata nafasi leo ya kuanza dhidi ya Simba atapambana kuipa ushindi timu yake ili isonge hatua...
SIMBA WASHTUKIWA DILI NA YANGA, HAYA NDIYO MAAMUZI WALIYOFANYA NI NDANI...
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumamosi
MTANGAZAJI NGULI NCHINI AMUONDOA SAMATTA KIKOSINI ASTON VILLA – VIDEO
Usajili wa Samatta bado ni gumzo Tanzania na hata nje ya mipaka ya Bara la Afrika kwani amevunja mwiko kwa Watanzania kutocheza Ligi Kuu...
KICHUYA KUANZA KAZI RASMI LEO
KIKOSI cha Simba, leo Jumamosi kitashuka uwanjani kupambana na Mwadui FC katika mchezo wa Kombe la FA utakaochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar...
BAADA YA KELELE KUZIDI DHIDI YAKE, MOLINGA AAMUA KUTOA TAMKO LA...
Mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga, David Molinga, amesema kuwa kazi ndiyo kwanza imeanza Yanga, hivyo mashabiki wa timu hiyo wasiwe na hofu mambo mazuri...
WAWILI WAONDOKA YANGA
WACHEZAJI wa Yanga mshambuliaji mpya Ditram Nchimbi na kiungo fundi Feisal Salum ‘Fei Toto’ wiki iliyopita waliondolewa usiku kwenye kambi ya timu hiyo wakakwea...