Michezo Bongo

Browse all posts in this category.

Michezo Bongo

CHOBANKA AFICHUA KILICHOIANGUSHA CEASIA

KOCHA Mkuu wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema kubadilisha kikosi kila msimu ndicho kilichochangia timu hiyo kushindwa kufanya vizuri katika Ligi Kuu…

Jun 7, 2026
Michezo Bongo

DAR LEOPARDS WALIAMSHA RAGA DAR

WAPENZI wa mchezo wa raga jijini Dar es Salaam wanatarajia kushuhudia wikiendi yenye shamrashamra na ushindani mkubwa baada ya klabu ya Dar…

Jun 6, 2026
Michezo Bongo

MSAKO WA POINTI TATU TANZANIA PRISONS

TANZANIA Prisons inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tano zilizobaki, huku kocha mkuu wa timu hiyo Shedrack Nsajigwa akitangaza msako mpya wa…

Jun 5, 2026
Michezo Bongo

KOCHA SERENGETI BOYS AOMBA MANNE

BAADA ya kuipeleka Tanzania kwenye Fainali za Kombe la Dunia la Vijana chini ya miaka 17 zitakazofanyika nchini Qatar, Kocha Mkuu wa…

Jun 5, 2026
Michezo Bongo

BARNABAS AFICHUA JAMBO TRANSIT CAMP

KOCHA wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema makosa binafsi wanayoyafanya katika mechi mbalimbali ndiyo yanayochangia mwenendo usioridhisha kwa kikosi hicho cha maafande…

Jun 1, 2026
Michezo Bongo

JKU BADO INA MATUMAINI YA UBINGWA EPL

MSEMO wa kuwa adui yako muombee njaa unaonekana bado unaishi, huku mshambuliaji wa JKU, Feisal Hilali maarufu kama ‘Feymar’, akiamini mbio za…

Jun 1, 2026
Michezo Bongo

WPL KUNA MOTO UNAWAKA

LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) inaendelea Mei 31, 2026 kwa mechi sita, lakini macho ya wengi yataelekezwa Uwanja wa KMC Complex na…

May 31, 2026
Michezo Bongo

KOCHA MUEMBE MAKUMBI AONA JAMBO

KOCHA Mkuu wa Muembe Makumbi, Sheha Khamis amesema ushindani wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu 2025-2026 umekuwa mgumu zaidi ikilinganishwa na…

May 30, 2026