MESSI WA CHUGA ANUKIA ULAYA
UONGOZI wa Fountain Gate FC umepokea barua kutoka timu mbalimbali Ulaya ili kumpata kiungo mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Juma Issa Abushiri…
Browse all posts in this category.
UONGOZI wa Fountain Gate FC umepokea barua kutoka timu mbalimbali Ulaya ili kumpata kiungo mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Juma Issa Abushiri…
NYOTA wa Mashujaa, Seif Karihe amekiri kukutana na ugumu wa ligi msimu huu akitoa matumaini kwa mechi tano zilizobaki kufufuka, huku akisisitiza…
UHONDO wa Ligi ya Championship umefikia hatua nzuri kwa sasa, ambapo leo Jumamosi itashuhudiwa mechi zote nane zikipigwa za raundi ya 27,…
HALI iliyonayo Malindi hivi sasa inahitaji maombi kuona inasalia Ligi Kuu Zanzibar kutokana na kupoteza mechi mbili za karibuni dhidi ya Polisi…
USHINDI wa Serengeti Boys dhidi ya Misri umeendelea kuibua matumaini makubwa kwa timu hiyo ya taifa ya vijana chini ya umri wa…
UZURI wa mchezo wa soka, kazi inayofanyika uwanjani ndio inatambulisha uwezo wa mtu kama ni mdogo, wastani au mkubwa hasa kwa makocha…
KIJIWE chetu kinafahamu vyema historia ya Coastal Union hasa linapofika suala la kuuza wachezaji kwenda timu nyingine. Coastal Union siyo timu ambayo…
MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Paul Peter amefanikiwa kufikia idadi ya mabao aliyofunga msimu uliopita ndani ya Ligi Kuu Bara na sasa ni…
BAADA ya michezo ya leo ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Singida Black Stars watavaana na Mbeya City, huku Pamba Jiji wakipambana…
MSHAMBULIAJI wa Kagera Sugar, Mzambia Obrey Chirwa amesema licha ya kasi yake ya kufunga mabao msimu huu, ila kipaumbele chake cha kwanza…
KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji FC, Amani Josiah, ameonesha kuridhishwa na utekelezaji wa mpango kazi wa timu yake katika mchezo wa hivi…
Mbio za kuwania nafasi ya nne imezidi kuwa wazi baada ya JKT Tanzania na TRA United kushindwa kupata ushindi katika michezo yao…