YANGA SCKWENYE PRESHA YA UBINGWA, MOALLIN ATOA MASHARTI MAZITO
KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga SC, Abdihamid Moalin, amewataka wachezaji wake kuendelea kudumisha furaha, umakini na kutumia nguvu zao kwa akili kuelekea…
Fuatilia habari zote mpya za <strong>Yanga SC</strong>, kuanzia usajili, kikosi, ratiba na matokeo ya mechi hadi taarifa za wachezaji, makocha na mashindano. Soka la Bongo inakuletea taarifa za <strong>Yanga SC</strong> kila siku kutoka Tanzania na mashindano ya Afrika.
KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga SC, Abdihamid Moalin, amewataka wachezaji wake kuendelea kudumisha furaha, umakini na kutumia nguvu zao kwa akili kuelekea…
WAKATI mwingine Tanzania tumekuwa tukiwapoteza wachezaji wazuri kwa sababu ya dhana tu ya watu wachache. Mtu unakuta amemchoka tu mchezaji fulani au…
LIGI Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi tatu kupigwa kwenye viwanja mbalimbali na mabingwa wate-tezi Yanga iliyo kileleni mwa msimamo na pointi…
KLABU ya Yanga imeibuka mshindi katika shauri lililokuwa likiikabili klabu ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moallin, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya…
KLABU ya Yanga imejikuta katika wakati mgumu baada ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kutoa uamuzi unaowataka kulipa TP Mazembe ya DR…
KAZI kubwa ipo kwa safu ya ulinzi ya Yanga kuhakikisha inakuwa imara na makini katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi…
BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello na kocha wa Simba, Steve Barker kupata tuzo ubora za mwezi, kulingana na kazi…
MABADILIKO yanayotarajiwa kufanyika katika safu ya ulinzi ya Yanga yanaweza kuweka rehani nafasi ya beki wa kushoto, Israel Patrick Mwenda, kuendelea kubaki…
OFISA Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, amesema kikosi cha timu hiyo kimefika mjini Kigoma kikiwa katika hali nzuri na tayari kwa…
KUNA ukame uliowapitia washambuliaji wawili wa Yanga, Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ sasa jamaa wametupia huko timu za taifa na kumfanya…
KLABU ya Yanga SC imefikia hatua za mwisho katika mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya, huku jina la kocha mwenye uzoefu mkubwa…