Trending Stories
View All
GWAMBINA: YANGA WALITIBUA MIPANGO YETU KIPINDI CHA KWANZA
FULGENCE Novatus, Kocha Mkuu wa Gwambina FC amesema kuwa wapinzani wao Yanga waliwazidi mbinu dakika 45 za mwanzo na kutibua…
SIMBA:HAKUNA KOMBE GUMU KAMA SHIRIKISHO
SHIZA Kichuya amesema kuwa mechi yao dhidi ya Stand United ilikuwa ngumu kutokana na hatua ambayo walikuwa wanacheza na asili…
JERRY MURO ATAJA SABABU YA KUMTAJA MKWASSA KUWA KOCHA BORA KULIKO MZUNGU
JERRY Muro aliyewahi kuwa Ofisa Habari wa Yanga, amesema kuwa kocha msaidizi wa Yanga Charles Boniface Mkwasa ni bora kuliko…
YANGA:TUMEANDAA SARE KWA AJILI YA SIMBA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umejipanga kuona unapata matokeo chanya mbele ya Simba kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa Taifa, Machi…
MASAU BWIRE YAMKUTA NAYE MAJANGA
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa timu ya Ruvu Shooting amepelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya TFF kwa kosa la kutoa…
ABALORA KIKWAZO NAMBA MOJA KWA IHEFU KUTINGA ROBO FAINALI FA
RAZACK Abalora mlinda mlango namba moja wa Azam FC jana alikuwa kikwazo namba moja kwa timu ya Ihefu FC inayoshiriki…
JEMBE LA MTIBWA SUGAR LIMERUDI, RASMI KUANZA KAZI KESHO
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa nyota wao Salum Kihimbwa amerejea rasmi uwanjani kutokana na kupona majeraha yake.Kihimbwa alikuwa nje…
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU PENALTI MBILI ZA KAGERE
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kukosa kwa penalti kwa mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere ni sehemu ya…
YANGA :HAKUKUWA NA NAMNA GWAMBINA ILIKUWA LAZIMA ICHAPWE TU
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa hakukuwa na namna ilikuwa lazima Gwambina FC ifungwe ili kurejesha furaha kwa…
KMC YATUMA UJUMBE HUU KWA SIMBA
MACHI Mosi, Uwanja wa Taifa, KMC itakuwa na kibarua cha kumenyana na Simba mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi…
HIZI HAPA ZILIZOFUZU ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO
BAADA ya hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho kukamilika hizi hapa zimetinga hatua ya Robo Fainali
KOCHA MPYA LIPULI ABEBA MATUMAINI MAPYA
KOCHA Mkuu wa Lipuli Nzeyimana Mailo raia wa Burundi amesema kuwa ana imani ataleta mabadiliko ndani ya timu ya Lipuli…
ALLIANCE: HATUNA UJANJA WA KUPENYA ROBO FAINALI BALI NI BAHATI TU
FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Alliance FC amesema kuwa ushindi wao walioupata mbele ya JKT Tanzania sio ujanja bali ni…
MZUNGU WA SIMBA HALAZI KIKOSI CHAKE, LEO KAZI INAANZA RASMI
JANA Februari 26 kikosi cha Simba kilitua Dar kikitokea Shinyanga, leo kinatarajiwa kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao wa…
YANGA YAINYOOSHA GWAMBINA KWA BAO MOJA LA KIDEO, YATINGA HATUA YA ROBO FAINALI
YANGA leo imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gwambina FC…
MAPILATO WA POLISI TANZANIA V YANGA YAWAKUTA, WAFUNGIWA MIEZI MITATU
Waamuzi waliosimamia mchezo namba 223 Polisi Tanzania vs Yanga Abel Willium na Martin Mwalyaje wamefungiwa miezi mitatu (3).Adabu hiyo imetokana…