Trending Stories
View All
ISHU YA MGOMO WA BEKI KISIKI WA YANGA, KELVIN YONDANI IPO NAMNA HII
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hakuna tatizo kati ya Yanga na beki kisiki Kelvin Yondani kwani ameomba…
TANZANITE YATINGA JUMLA FAINALI COSAFA, YAWAPIGA MABAO 2-0 AFRIKA KUSINI
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 ‘Tanzanite’ leo imetinga hatua ya fainali baada ya kupata…
SIMBA HAWALALI, WAICHANA YANGA KIMTIDO, YADAI IMEWAPOTEZA MAZIMA KWENYE MAPATO NA MASHABIKI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umewapoteza kwa mbali wapinzani wao kwenye mahesabu pamoja na mashabiki waliohudhuria kwenye mechi za kimataifa…
YANGA: HAKUNA TIMU YENYE REKODI YA KUJAZA UWANJA WA TAIFA KIMATAIFA KAMA SISI
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hakuna rekodi ambayo imewahi kuvunjwa na timu yoyote ya kujaza uwanja wa Taifa mapema tangu…
TOTTENHAM WANAHAHA KUMPATA DYBALA
TOTTENHAM wapo bize kwa sasa kukamilisha dili la kumpata mshambuliaji wa Juventus Paulo Dybala.Kwa sasa wamefikia hatua nzuri ya makubaliano…
KIKOSI CHA TANZANITE KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA AFRIKA KUSINI MICHUANO YA COSAFA
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 ‘Tanzanite’ kitakachoanza dhidi ya Afrika Kusini leo michuano ya…
KMC WANA BALAA, WATIA TIMU LEO RWANDA NA KUANZA KUWAVUTIA KASI WAPINZANI WAO
KIKOSI cha KMC leo kimetia timu nchini Burundi kwa ajili ya kujiaandaa na mchezo wake wa kimataifa dhidi ya AS…
WATATU WA KIKOSI CHA KWANZA KUBAKI BONGO SIMBA IKIKWEA PIPA KUWAFUATA UD SONGO
IMEELEZWA kuwa nyota watatu wa kikosi cha kwanza wa timu ya Simba watabaki Bongo wakati timu ikikwea pipa kuelekea nchini…
BAADA YA JANA KUSHUSHA DOZI YA 4G, YANGA KAZINI TENA LEO
BAADA ya Jana kikosi cha Mabingwa wa Kihistoria Yanga kushusha kichapo cha 4 g mbele ya Mlandege visiwani Zanzibar leo…
LUKAKU WA MANCHESTER UNITED KUIBUKIA MILAN
ROMELU Lukaku amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United mpaka Iter Milan.Milan inayoshiriki Serie A imeweka mezani mkwanja wa pauni Milioni…
AZAM FC YAPANIA KUFANYA MAAJABU KWA WAETHIOPIA JUMAPILI
KIKOSI cha mabingwa wa kombe la Shirikisho Azam FC kimepania kufanya maajabu kwenye mchezo wao utakaochezwa Jumapili nchini Ethiopia dhidi…
CHELSEA YAKUBALI KUMUACHIA NYOTA WAO LUZ KWA HASARA KUTUA ARSENAL
ARSENAL inatakiwa ivunje kibubu na kuweka mezani dau la pauni milioni 12 Kwa Chelsea ili kumpata nyota David Luiz.Beki huyo…
MABOSI MANCHESTER CITY WAKUBALIANA KUMPA NAMBA MPYA NYOTA WAO MPYA
MABOSI wa Manchester City wamethibitisha kwamba nyota mpya aliyejiunga nao kwa ajili ya msimu ujao atatumia jezi namba 27.Joao Cancelo…
TANZANITE: TUNAWANYOOSHA AFRIKA KUSINI LEO
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 ‘Tanzanite’ amesema kuwa kikosi kipo sawa…
WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA KUTUA BONGO LEO
WAPINZANI wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali unaotarajiwa kuchezwa Agosti 10 uwanja wa Taifa Township Rollers wanatarajia kutua Bongo…
KAPOMBE: NIMERUDI SASA NI KAZI JUU YA KAZI KITAIFA NA KIMATAIFA
SHOMARI Kapombe, beki wa Simba amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na anaimani ya kufanya vizuri ndani ya Simba kwenye…