Trending Stories
View All
JIPYA LAIBUKA JUU YA USAJILI WA BWALA SIMBA
Imeripotiwa kuwa klabu ya Simba imegoma kutoka kiasi cha fedha ambacho Nkana Red Devils wanakitaka ili kumuachia mchezaji wao Walter…
TSHABALALA AWACHANGANYA WAARABU – VIDEO
Tazama alichokifanya Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ huko Misri akiwa na Taifa Stars mpaka baadhi ya waarabu wakawa wanamtazama.
HARMONIZE AMKATAA ALIKIBA, ATAJA TATTOO ZAKE – VIDEO
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Harmonize, kutoka WCB Wasafi, amefunguka mambo mbalimbali kuhusiana na tattoo alizochora mwilini mwake sambamba na kumtaja…
ALIKIBA AIGA ALICHOKIFANYA DIAMOND – VIDEO
Lebo ya Msanii wa kizazi kipya inayomilikiwa na msanii Ali Kiba ‘Kings Music’ imemtambulisha msanii mwingine mpya.
Miraji avunja kanuni ya saa saba kamili?
Winga wa klabu ya Lipuli Fc yenye makazi yake mjini Iringa, Miraj Athumani, huenda anaelekea katika klabu ya Simba Sc…
WENGINE WAWILI WASAINI LEO AZAM FC
UONGOZI wa Azam FC chini ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin kwa kushirikiana na benchi la ufundi lililo chini ya…
EXCLUSIVE: JUMA SHAROBARO ATAMBULISHA NGOMA YAKE MPYA
LORI LAGONGA TRENI DODOMA, 29 WAJERUHIWA
Watu 29 wamejeruhiwa baada ya lori kugonga treni jijini Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Protas Katambi, amesema leo asubuhi…
BEKI KENYA AZUA GUMZO AFCON
MLINZI wa timu ya taifa ya Kenya (Harambee Stars), Joash Abong’o Onyango, amezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii baada ya…
MANCHESTER UNITED WAMTAKA KIUNGO WA WESTHAM UNITED
MANCHESTER UNITED imewasiliana na uongozi wa West Ham United kuona namna gani wanaweza wakakamilisha dili la kumpata mchezaji Declan Rice.…
YANGA YASIMAMISHA ZOEZI LA USAJILI
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna hesabu za kusajili wachezaji wengine wa kigeni baada ya kukamilisha asilimia 90…
Mwinyi Haji anaelekea Kinondoni…
Beki wa kushoto wa klabu ya Yanga Mwinyi Hajji yupo katika rada za wana “Kino Boys” KMC ili kukiimarisha kikosi…
Wachezaji waliokamilisha usajili Ligi Kuu 2019/20
Tunaendelea kujaza wachezaji ambao wanajiunga/kuongeza mikataba katika vilabu vya Ligi Kuu kwa msimu wa Ligi Kuu 2019/20. Hii ni kwa…
BREAKING: BEKI MWILI JUMBA AMLIZANA NA SIMBA LEO MIAKA MIWILI
MCHEZAJI wa Singida United, Keneddy Juma ”mwili jumba’ leo ametangazwa kujiunga na kikosi cha Simba kwa kandarasi ya miaka miwili.…
ALLIANCE FC WAMCHUNIA MALALE HAMSINI
KOCHA wa Alliance FC, Malale Hamsini amesema kuwa tayari amemaliza mkataba wake ndani ya kikosi hicho hivyo kwa sasa yupo…
MAKOSA YA MSIMU ULIOPITA YAIPA SOMO SINGIDA UNITED
UONGOZI wa Singida United iliyo chini ya Kocha Mkuu, Fred Minziro umesema kuwa makosa yaliyojitokeza msimu uliopita hayatatokea tena msimu…