Trending Stories
View All
KIBABAGE WA MTIBWA SUGAR AMFUATA SIMON MSUVA DIFAA HASSANI EL JADIDA
UONGOZI wa timu ya Mtibwa Sugar umesema kuwa mchezaji wao Nickson Clement Kibabage anataraji kujiunga na Difaa Hassani El Jadida…
YANGA YASHUSHA MASTAA AS VITA DAR
YANGA inataka ianze kutesti mitambo yake kuelekea kimataifa na sasa ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na klabu kubwa za DR…
YANGA YASAINI JEMBE LINGINE LA STARS
YANGA wabishi balaa! Hili ndiyo neno pekee unaloweza kusema kwa sasa baada ya uongozi wa timu hiyo kufanikiwa kuinasa saini…
#NimeisomaHii: Shinda jezi ya timu ya Taifa ya Tanzania
Tovuti yetu ina zaidi ya makala/uchambuzi na habari 1,000 za kuvutia, bila kusahau Msimamo, Wafungaji bora, Matokeo na Ratiba, tukielekea…
ORODHA KAMILI YA WACHEZAJI AMBAO WAMEMALIZANA NA SIMBA NA WALIPO KWA SASA
KWA sasa joto la usajili ndio limepamba moto huku kila timu ikiwa bize kukamiisha usajili wa wachezaji ambao wanawahitaji.Mpaka sasa…
ZAHERA ATOA MASHARTI MAKALI YA USAJILI YANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera ametoa masharti ya usajili wa wachezaji wapya.Yanga hadi hivi sasa imekamilisha usajili wa…
SIMBA SASA NI JEMBE JUU YA JEMBE
BODI ya Wakurugenzi ya Simba SC, Company Limited imetangaza rasmi kuanza usajili wa wachezaji wake wapya wakitumia ripoti ya kocha…
SIMBA WATAJA SIKU YA KUTAMBULISHA MASHINE MPYA
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara mara mbili mfululizo Simba, msimu wa 2017/18-na 2018-19 wamepata mualiko wa kucheza mchezo wa kirafiki…
VIDEO: KILOMONI ATIA TIMU KWENYE KUBWA KULIKO YA YANGA
HIVI NDIVYO YANGA WALIVYOWAPA SIMBA UWANJA WA MABWEPANDE
RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amesema viongozi wa Serikali hawatakiwi kuegemea katika klabu moja…
SERIKALI YAONGEZA MAKALI USIMAMIAJI WA TPL KWA WACHEZAJI WA KIGENI
KUELEKEA kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2019/20 Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa, na Michezo, Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa…
CHAMA CHA MPIRA WA KIKAPU TANZANIA CHAOMBA KUPIGWA TAFU NA WATANZANIA
TIMU ya taifa ya mpira wa kikapu ya wanaume na wanawake imewaomba watanzania kuwachangia fedha ili iweze kumudu gharama za…
BAADA YA KUMTANGAZA MAKAME, YANGA YATUMA UJUMBE WA TAHADHARI SIMBA
Kutoka Young AfricansSalamu za pole zifike kwa timu yoyote itakayokaa mbele yetu: tutashambulia ‘kiroho mbaya’, ukiweka ugoko tunaweka chuma, tukitoa…
KUBWA KULIKO: WIKI YA MWANANCHI KUITIKISA TANZANIA
Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa na Uchangishaji ya Yanga Anthony Mavunde amesema wamependekeza kwa uongozi kuanzisha wiki maalum itakayoitwa ‘Wiki…
ALIYETAJWA KUTUA SIMBA AMALIZANA NA YANGA KWA MIAKA MIWILI
Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kuingia mkataba wa miaka na straika aliyekuwa anaicheza Polisi ya Uganda, Juma Balinya,Balinya amekuwa…