admin
BABA SAMATTA AANGUA KILIO – VIDEO
USIKU wa kuamkia juzi uliweza kuweka historia nyingine katika anga la mchezo wa soka Tanzania kufuatia nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana...
RASMI, SAMATTA AANZA MAZOEZI ASTON VILLA AKIANDIKA REKODI
Mshambuliaji mpya wa Aston Villa, Mbwana Samatta ameanza rasmi mazoezi na kikosi chake kipya.Samatta ameanza mazoezi na kuandika rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza...
SIRI YA AZAM FC KUIPIGA MWADUI HII HAPA
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kikubwa kilichowapa ushindi jana mbele ya Mwadui FC ni kujituma kwa wachezaji.Azam FC jana ilishinda bao 1-0 mbele...
MBELGIJI WA SIMBA ATEGUA MTEGO WAKE KIMTINDO
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ametugua mtego wa dakika 180 kwa mechi mbili za kanda ya ziwa.Simba imecheza mechi mbili ambazo ni sawa...
AZAM FC BADO WANALITAKA KOMBE HILI LILILOPO MIKONONI MWAO
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kazi kubwa nyingine iliyopo mkononi mwao ni kutetea taji lao la Kombe la Shirikisho ambalo...
MASHUJAA WAPANIA KUONYESHA USHUJAA WAKIPANDA LIGI
ATUNGO Manyundo, Kocha Mkuu wa Mashujaa FC ya Kigoma amesema kuwa wataonyesha ushujaa mkubwa endapo watapanda ligi kuu msimu ujao. Mashujaa FC ilionyesha ushujaa mbele...
NAMUNGO WAIPIGIA HESABU NDEFU MBAO FC
UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa kwa sasa unarejea kwenye uwanja wao wa nyumbani, Majaliwa maarufu kuiandalia dozi Mbao FC kwenye mchezo wao wa...
AUSSEMS APOTEZWA SIMBA
Sven Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ameipoteza rekodi ya mtangulizi wake, Patrick Aussems kwenye mechi za Kanda ya Ziwa kwa kusepa na idadi kubwa...
MAYWEATHER KUPAMBANA TENA NA MCGREGOR NA KHABIB
BONDIA Floyd Mayweather ameibuka na kuthibitisha kwamba atapambana na Conor McGregor na Khabib Nurmagomedov katika pambano la kurejeana mwaka huu.Nguli huyo wa ndondi kutoka...
ISHU YA KOCHA YANGA KUPEWA ONYO KISA UBAGUZI, UONGOZI YANGA WATOA...
Baada ya Kocha wao Mkuu, Luc Aymael, kupewa onyo kutokana na kauli ya kusema alifanyiwa ubaguzi, uongozi wa klabu hiyo umesema hauna namna ya...