MCHEZO WA KAGERA SUGAR V PAMBA WAINGIWA NA DOA, DAKIKA 16 ZAPITA

0

MCHEZO wa Playoff kati ya Kagera Sugar na Pamba uwanja wa Kaitaba umekumbwa na sintofahamu baada ya kupita dakika 17 bila kuanza.Mechi hiyo ambayo ni marudio ilipaswa ianze muda wa saa 10:00 kwani muda ulipofika timu zote zilitia timu uwanjani ila mpira bado haukuanza.Licha ya waamuzi kukagua wachezaji bado kuna taratibu za kiufundi ambazo zilikuwa zinakamilishwa.Baada ya taratibu kukamilika...

LEO NI LEO…TANZANIA vs ALGERIA….DEZO LOTE HILI NI KWA MSELELEKO ULE ULE WA DStv NA KWA ‘MTONYO’ ULE ULE…

0

@edgarkibwana anasema soka la nguvu linaendelea ndani ya @dstvtanzania pekee!Unaenda wapi? Furahia mechi bomba kabisa za kukata na shoka ikiwemo ya Tanzania vs Algeria ndani ya kifurushi cha Poa Jumatano hii na mechi ya Wales vs Netherlands siku ya Alhamisi tarehe 8 Juni.Umelipia? Piga *150*53# kulipia kifurushi chako cha Poa ufurahie mechi hizi.#DStvEwaaaah

ETO’O: STARS ITAFANYA MAAJABU AFCON

0

NGULI wa soka wa Cameroon, Samuel Eto’o ameweka wazi kuwa anaamini timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itafanya kweli katika mashindano ya Kombe la Afrika ‘Afcon’ mwaka huu.Stars inatarajiwa kushiriki Afcon ambayo imepangwa kuanza kutimua vumbi Juni 21 hadi Julai 19, mwaka huu nchini Misri.Eto’o ni mshindi mara mbili wa Afcon mwaka 2000 na 2002 akiwa na kikosi...

ZAHERA AMGOMEA KOCHA MPYA YANGA, AANIKA SABABU ZAKE

0

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amegoma katakata kuchaguliwa kocha msaidizi na viongozi wake huku akiwataka wamuachie hiyo kazi yeye wa kuchagua wa kufanya naye kazi.Zahera ambaye alianza kuinoa Yanga mwishoni mwa msimu wa 2017/18, tangu hapo alikuwa akisaidiwa na Mzania Noel Mwandila ambaye alimkuta kikosini hapo. Yanga hivi karibuni ilihusishwa na mpango wa kuleta kocha msaidizi mpya huku jina...

LISTI KAMILI YA WACHEZAJI 10 WLAIOMWAGA WINO YANGA HII HAPA, SI MCHEZO

0

LISTI kamili inayotajwa kusajiliwa na Yanga mpaka sasa1. Issa Bigirimana (APR Rwanda)2. Patrick Sibomana- (Mukura Victory Rwanda)3. Mohammed Camara- (Horoya Guinea)4. Mustapha Suleiman- (Aigle Noir AC Haiti)5. Sadney Ukhrob (Namibia)6. Lamine Moro (Ghana)Wachezaji wa ndani1. Ally Mtoni (Lipuli FC)2. Kassim Khamis Abdallah (Kagera Sugar)3. Abdulaziz Makame (Mchezaji Huru)4. Ally Ally (KMC)

HAZARD: NIMEFANYA JAMBO GUMU MAISHANI KUONDOKA CHELSEA

0

BAADA ya Real Madrid kukamilisha dili la Eden Hazard kutoka Chelsea kwa dau la Euro milioni 150, Hazard amesema amefanya maamuzi magumu kwenye sekta ya michezo.Hazard amekubali kusaini mkataba wa miaka mitano ndani ya Madrid ya Zinedine Zidane na anatarajiwa kufanyiwa vipimo Juni 13.Nyota huyo ametupia jumla ya mabao 110 kwenye michezo 352 baada ya kujiunga na klabu ya Chelsea...

MBIVU NA MBICHI ZA ZITAKAZOSHUKA NA KUPANDA TPL KUJULIKANA LEO

0

MBIVU na mbichi kwa timu za Ligi Kuu Bara (TPL) Kagera Sugar na Mwadui FC kubaki ama kushuka moja kwa moja itajulikana leo baada ya dakika 90.Kagera Sugar leo itakuwa kibaruani kucheza mchezo wa Playoff na Pamba  uwanja wa Kaitaba huku Mwadui FC ikimenyana na Geita FC uwanja wa Mwadui.Timu zote mbili zina kumbukumbu ya kutoka suluhu kwenye michezo...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi

YANGA HAWATAKI UTANI, WANAUTAKA UBINGWA WA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

0

BAADA ya kupata nafasi ya kushiriki michuano ya  Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imeweka wazi lengo lao ni kutwaa ubingwa huo msimu ujao.Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano hiyo msimu ujao baada ya kumaliza ligi msimu uliopita ikiwa nafasi ya pili huku Tanzania ikiongezewa nafasi za uwakilishi kutoka nafasi moja hadi mbili.Klabu hiyo imepanga kuitumia hafla ya harambee yake...