CHE MALONE ATIKISA ALGERIA
BEKI wa kimataifa wa Cameroon, Che Malone Fondoh, ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Kigeni wa Ligi Kuu ya Algeria ‘Algerian Ligue 1’…
Fuatilia habari zote mpya za <strong>Yanga SC</strong>, kuanzia usajili, kikosi, ratiba na matokeo ya mechi hadi taarifa za wachezaji, makocha na mashindano. Soka la Bongo inakuletea taarifa za <strong>Yanga SC</strong> kila siku kutoka Tanzania na mashindano ya Afrika.
BEKI wa kimataifa wa Cameroon, Che Malone Fondoh, ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Kigeni wa Ligi Kuu ya Algeria ‘Algerian Ligue 1’…
“Ndoto iko karibu kutimia. Tuinue vichwa kwa imani, bado kuna hatua moja ya mwisho! Asanteni wote kwa sapoti kubwa usiku wa leo!”…
KATIKATI ya mitaa ya Manzese Tiptop, eneo la Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, kuna ukumbi mdogo unaobeba ndoto kubwa za vijana…
WAKATI ushindani wa Ligi Kuu Tanzania Bara ukiendelea kupamba moto, benchi la ufundi la Simba SC limefafanua sababu za kutokwenda mapema Kigoma…
WAKATI presha ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Dodoma Jiji FC ikiendelea kupanda, kambi ya Yanga SC imepokea taarifa…
KIUNGO mkabaji wa Simba SC, Kagoma, amesema ana hamasa kubwa ya kurejea kucheza mkoani Kigoma huku akiweka wazi kuwa ni jambo maalum…
PAMOJA na kukubali ugumu wa namba kikosini, Straika wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema bado ni mapema kuitabiria timu hiyo magumu Ligi…
HESABU za kukwepa aibu ya kushuka daraja inaendelea kuzipa presha timu za Ligi Kuu Bara, huku Kocha wa Mbeya City, Saluma Mayanga…
ILE Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inarudi na tayari timu shiriki 16 zinajifua kwa ajili ya kipute hicho…
Kama unapenda burudani yenye michezo ya kisasa, Meridianbet imekuja na kitu tofauti kabisa. Hapa sio tu kucheza, ni kuingia kwenye ulimwengu wa…
MSHAMBULIAJI wa Prince Dube amerejea tena kwenye anga za kimataifa baada ya kuitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Zimbabwe kitakachoshiriki…
Mashindano ya kusaka vipaji ya BSS 2026 Next Level Revolution, yameingia hatua ya 20 bora baada ya kukamilika kwa mchujo uliowakutanisha washiriki…