Trending Stories
View All
KOCHA STARS ATAJA KILICHOWAZUIA KUPATA USHINDI MBELE YA KENYA
ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’ amesema kuwa sare waliyoipata imetokana na kushindwa kutumia nafasi walizozipata…
ZAHERA ATAJA HATMA YA YONDANI NDANI YA YANGA
KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa beki wa kikosi hicho Kelvin Yondan hawezi kugoma kama ambavyo inadaiwa hivyo atajiunga…
HAZARD AMTABIRIA MAKUBWA NYOTA MPYA WA CHELSEA
EDEN Hazard nyota mpya wa Real Madrid amemtabiria makubwa winga mpya wa Chelsea, Christain Pulisic kuwa atafanya makubwa kwenye medani…
LIVERPOOL: TUNA MECHI NYINGI MSIMU UJAO LAZIMA TUFANYE KWELI
JURGEN Klopp, Meneja wa Liverpool amesema kuwa msimu ujao wana kazi ngumu ya kufanya ili kuweka rekodi mpya zaidi ya…
YANGA YATUMIA MILIONI KUBORESHA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
TAWI la nguvu ya Buku la Yanga lenye makazi yake Mwananyamala jana limekabidhi msaada wa ukarabati wa Wodi ya Wanaume…
YANGA WACHEKELEA UJIO WA ZAHERA,, MBELGIJI AIPA YANGA SIRI ZA USHINDI, KESHO CHAMPIONI JUMATATU
ISHU ya Kambi ya Simba Afrika Kusini na habari kuhusu timu ya Taifa ya Tanzania zote ndani bila kusahau kambi…
YANGA WAZIDI KUNOGA WAMALIZA KAZI NA MAWEZI MARKET KWA KUICHAPA BAO 1-0
ISSA Bigirimana mshambuliaji wa Yanga leo ameibuka shujaa wa mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na Mawezi Market baada ya…
STARS SASA KAZI KUHAMIA KENYA KUTAFUTA NAFASI YA KUFUZU CHAN
KIKOSI cha timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo kimelazimisha sare ya bila ya kufungana na timu ya Taifa ya Kenya…
LIVE: TANZANIA 0-0 KENYA
MCHEZO unaoendelea kwa sasa uwanja wa Taifa ni kati ya Tanzania na Kenya. Kipindi cha kwanza hakuna ambaye ameona lango…
VIDEO: YANGA YATOA MSAADA HOSPITALI YA MBEZI
MWINYI ZAHERA ATIA TIMU KAMBINI MOROGORO, SHANGWE KAMA LOTE
MWINYI Zahera Kocha Mkuu wa Yanga leo amewasili kambini Morogoro na kupokelewa kwa shangwe za kutosha na mashabiki wa mkoani…
KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA KIAKACHOANZA LEO DHIDI YA KENYA, UWANJA WA TAIFA
JESHI zima la timu ya Taifa leo uwanja wa Taifa dhidi ya Kenya1.Juma Kaseja2.Paul Godfery3,Gadiel Michael4.Erasto Nyoni5.Kelvin Yondan6.Jonas Mkude7.Hassan Dilunga8.Salum…
NYOTA WA YANGA AMALIZANA NA ALLIANCE FC
JERSON Tegete nyota wa zamani wa kikosi cha Yanga na Kagera Sugar msimu ujao atakuwa ndani ya uzi wa Alliance…
SERGIO ARGUERO ANA REKODI TAMU NDANI YA MANCHESTER CITY
SERGIO Arguero,mshambuliaji wa Manchester City alijiunga na klabu hiyo Julai 28, 2011 akitokea Altletico Madrid na rekodi yake ni tamu.Mpaka…
CHELSEA KULA SAHANI MOJA NA MANCHESTER CITY
FRANK Lampard, meneja wa Chelsea amesema kuwa msimu ujao lazima ale sahani moja na Manchester City pamoja na Liverpool.Lampard amebeba…