Trending Stories
View All
NDAYIRAGIJE:KIKOSI KIPO TAYARI KWA USHINDI LEO
ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa kazi leo ni moja kupata matokeo chanya mbele…
MWANAMICHEZO AZIM DEWJI AZIDI KUTENGAMAA
AZIM Dewji ambaye ni mwanamichezo imeelezwa kuwa kwa sasa anaendelea vizuri akiwa amelazwa Taasisi ya Mifupa ya MOI na matibabu…
SEPETU: WACHEZAJI WALITUANGUSHA AFCON, LEO HAPANA, MASHABIKI TUJITOKEZE
WEMA Sepetu, shabiki mkubwa wa timu ya Taifa ya Tanzania na mjumbe wa kamati ya uhamasishaji wa timu ya Taifa…
SIMBA YAWEKA MEZANI MILIONI 10 KWA AJILI YA KELVIN YONDAN, METACHA MNATA, JUMA KASEJA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa endapo timu ya Taifa ya Tanzania itaibuka kidedea mbele ya timu ya Kenya leo watapewa…
JUMA BALINYA, SIBOMANA NA KIPA WA KENYA KUTOA ZAWADI YA NGUVU LEO MOROGORO
NYOTA wote wakali ndani ya Yanga leo kuonyesha maajabu bure uwanja wa Jamhuri Morogoro kwenye mchezo wa kukata na shoka…
NAHODHA STARS: TUNAPENYA LEO MBELE YA KENYA, MASHABIKI MTUPE SAPOTI
JOHN Bocco nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa leo watapambana kuipeperusha Bendera ya Taifa mbele ya Kenya…
YANGA YATAKA MAJEMBE HAYA MAWILI, MMOJA KUMCHOMOA KUTOKA SIMBA
UONGOZI WA Yanga umesema kuwa bado upo sokoni kusaka majembe mengine makali kwa ajili ya msimu ujao.Dirisha la usajili linafungwa…
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili
STAA MPYA YANGA YAMKUTA MAKUBWA, ISHU YA SAUZI IPO LAIVU NI KESHO NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI
KESHO Gazeti la Spoti Xtra Jumapili limesheheni Habari kamili kuhusu kambi ya Yanga Moro pamoja na ile ya Simba Sauzi
KUMEKUCHA SIMBA, MO AMALIZA UTATA MAZIMA
KAULI ya Mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji leo imetoa ile hofu ya mashabiki kuhusu hatma yake ndani ya Simba.Baada ya…
SIBOMANA WA YANGA APANIA MAKUBWA
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, aliyetupia tatu dhidi ya Moro Academy , Patrick Sibomana, amewaambia mashabiki kwamba ndiyo zake wala hakubahatisha…
HAWA NDIO WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA
TOWNSHIP Rollers ni wapinzani wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali wa Ligi ya mabingwa unaotarajiwa kuchezwa kati ya Agosti…
HAWA NDIO WAPINZANI WA SIMBA KIMATAIFA HATUA YA AWALI
WAPINZANI wa Simba kwenye michuano ya Kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika klabu ya UD Songo, imeanzishwa mwaka 1982 na…
VITA YA SIMBA KWENYE ENEO LA ULINZI YAACHWA KWA MBELGIJI
PASCAL Wawa,beki wa Simba amesema hana hofu na nafasi yake ndani ya kikosi hicho, kazi ni kwake kupambana kisha kocha…
SIMBA YALAZIMISHA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA
BAO la Mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere dakika ya 58 kwenye mchezo wa kirafiki leo dhidi ya Township Rollers lilidumu…
KIPA STARS ATAMBA KUWAZUIA WASHAMBULIAJI WA KENYA
JUMA Kaseja ametamba kuwazuia washambuliaji wa timu ya taifa ya Kenya kwenye mechi ya kufuzu michuano ya CHAN itakayopigwa kesho,…