Yanga SC

Fuatilia habari zote mpya za <strong>Yanga SC</strong>, kuanzia usajili, kikosi, ratiba na matokeo ya mechi hadi taarifa za wachezaji, makocha na mashindano. Soka la Bongo inakuletea taarifa za <strong>Yanga SC</strong> kila siku kutoka Tanzania na mashindano ya Afrika.

Yanga SC

MAABAD AMVAA FEI TOTO

WAKATI Kiungo wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ akifikisha mabao 11 na kuendelea kuongoza katika orodha ya wafungaji bora katika Ligi Kuu…

May 16, 2026
Yanga SC

MASOUD AOMBA MUDA SONGEA UNITED

KOCHA Mkuu wa Songea United ya Songea, mkoani Ruvuma, Juma Masoud amesema anahitaji muda zaidi kwa ajili ya kutengeneza timu ya ushindani,…

May 16, 2026
Yanga SC

DAKIKA TATU ZAMUUMIZA BARAZA

KOCHA wa Pamba Jiji, Francis Baraza, ameonyesha kuumizwa na matokeo ya mchezo dhidi ya Azam baada ya kikosi chake kupoteza umakini katika…

May 15, 2026
Yanga SC

NSAJIGWA AANZA MIKWARA TANZANIA PRISONS

BAADA ya kukosa ushindi katika michezo tisa aliyosimamia, hatimaye Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa ameonja pointi tatu za kwanza Ligi…

May 15, 2026
Yanga SC

EL HADJI DIOUF KUTUMIKIA ADHABU GEREZANI

DAKAR, SENEGAL: Nyota wa zamani wa Liverpool, El Hadji Diouf ameamriwa kutumikia hukumu ya kifungo kilichokuwa kimesimamishwa baada ya kushindwa kutoa matunzo…

May 15, 2026
Yanga SC

POINTI TATU ZAMTIBULIA HESABU GUARDIOLA

BAADA ya Hausung FC kupokwa pointi tatu na mabao matatu, ila kocha wa kikosi hicho, Selemani Kitunda Simota ‘Guardiola’ amesema bado hawajakata…

May 15, 2026