Trending Stories
View All
YANGA YAENDELEA KUSHINDA MECHI ZAKE ZA KIRAFIKI, YATANDIKA MTU 7-0
Yanga imeendelea kushinda mfululizo mechi zake za kurafiki kwa kuitwanga Moro Athletic Academy kwa mabao 7-0. Yanga ipo kambini Morogoro…
BOCCO ALIAMSHA AFRIKA KUSINI, MBRAZILI NAYE AANZA KAZI SIMBA IKIMPIGA MTU 4-0
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amedhihirisha makali yake leo ambapo amefunga mabao 2 kwenye ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya…
MENEJA WA JUVENTUS AITAKA SAINI YA BEKI WA SPURS
Maurizio Sarri meneja wa Juventus ameutaka uongozi ufanye jitihada za kuipata saini ya beki wa Totthenham Danny Rose.Bosi huyo mpya…
MGOGORO WA ZIDANE NA BALE KUSHUSHA THAMANI YA MCHEZAJI
MGOGORO unaoendelea kati ya Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane na mchezaji wake Gareth Bale umeelezwa kuwa unaidumisha thamani ya…
WAARABU WA MISRI WAPIDUA MEZA KIBABE MBELE YA SIMBA KWA NYOTA HUYU
KLABU ya Al Ahly ambao ni waarabu wa Misri, imepindua meza kibabe mbele ya Simba baada ya kuweka dau la…
WATAU WAPIGWA STOP YANGA MAZIMA
INAELEZWA kuwa uongozi wa Yanga umeamua kuwasimamisha nyota watatu wa kikosi cha kwanza kwa kushindwa kuripoti kambini. Andrew Vincent ‘Dante’, Juma…
HIKI HAPA KIKOSI BORA CHA AFCON KWA WACHEZAJI WANAOCHEZA NDANI YA AFRIKA
1. Mohamed El Shenawy (GK) (Misri) 2. Wadji Kechrida (Tunisia)3. Riaan Hanamub (Namibia)4. Ayman Ashraf (Misri)5. Sfiso Hlanti (Zambia)6. Dean Furman…
KOCHA STARS: UWEZO WA WACHEZAJI UNAONGEZEKA KILA SIKU
KAIMU Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Ettiene Ndayiragije amesema kuwa uwezo wa wachezaji unaongezeka kila siku…
REKODI YA GARETH BALE NDANI YA MADRID TAMU KINOMA
REKODI ya Gareth Bale akiwa ndani ya Real Madrid inavutia, amecheza jumla ya mechi 231 na kupachika mabao 102 huku…
KMC: TUPO TAYARI KUPAMBANA KIMATAIFA
UONGOZI wa KMC umesema kuwa hauna mashaka na kikosi walichopangiwa nacho kucheza nao kwenye michuano ya kimataifa kwani wana uwezo…
DAVID DE GEA ANUKIA KUWA NAHODHA WA UNITED
David De Gea anaweza kuwa nahodha wa Manchester United kutokana na moja ya kipengele kilichopo kwenye mkataba wake mpya anaotaka…
YANGA: MSIMU UJAO MAMBO NI MOTO
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa maandalizi ya timu yanazidi kupamba moto kwa ajili ya msimu ujao.Yanga imeweka kambi mkoani Morogoro…
NYOTA SABA WA SIMBA KUCHOMOKA LEO KAMBINI
NYOTA saba wa timu ya Simba wanatarajiwa kujiunga leo na timu ya Taifa kwa ajili ya kujaanda na michuano ya…
AZAM FC WASAHAU HABARI ZA KUPOTEZA KOMBE LA KAGAME HESABU ZAO ZIPO HUKU
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa. Azam FC imerejea…
KOCHA STARS: UWEZO WANGU UTAZUNGUMZA UWANJANI
KOCHA msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania,’Taifa Stars’ Seleman Matola amesema kuwa anastahili kuwa Kocha wa timu ya Taifa…
CAF YATIBUA PROGRAMU YA SIMBA AFRIKA KUSINI
PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kutokana na ratiba ya michuano ya Ligi ya Mabingwa kutoka ni lazima…