SINGIDA BS YAKOLEZA VITA TOP FOUR IKIINYUKA MTIBWA
USHINDI mnono wa mabao 4-0 walioupata Singida Black Stars dhidi ya Mtibwa Sugar, umeongeza presha kwenye vita ya nne bora ya Ligi…
Fuatilia habari zote mpya za <strong>Yanga SC</strong>, kuanzia usajili, kikosi, ratiba na matokeo ya mechi hadi taarifa za wachezaji, makocha na mashindano. Soka la Bongo inakuletea taarifa za <strong>Yanga SC</strong> kila siku kutoka Tanzania na mashindano ya Afrika.
USHINDI mnono wa mabao 4-0 walioupata Singida Black Stars dhidi ya Mtibwa Sugar, umeongeza presha kwenye vita ya nne bora ya Ligi…
MAKAMANDA wa Mashujaa na JKT Tanzania, wamejikuta wakipiga hesabu moja msimu ujao za kuwania saini ya kiungo mkabaji Jonas Mkude. Mkude ambaye…
Leo Mei 9 saa 7:00 usiku (saa 18:00 kwa saa za Italia), Uwanja wa Stadio Olimpico utakuwa mwenyeji wa mchezo wa Serie…
KATIKA harakati za kuhakikisha safu yao ya ushambuliaji inaendelea kuwa tishio kwa wapinzani, uongozi wa Yanga SC umeamua kukata mzizi wa fitna…
Siku chache baada ya kutimuliwa ndani ya Yanga SC, aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pedro Gonçalves, amevunja ukimya kwa ujumbe mrefu…
LONDON, ENGLAND: JANA, Ijumaa, mechi nnne katika ligi nne kubwa Ulaya zilipigwa kuelekea wikiendi ambayo itakuwa na pilikapilika nyingi katika ligi tano…
UNAMKUMBUKA Kocha Fadlu Davids aliyekuwa anaiongoza Simba msimu uliopita? Jamaa yuko kwenye vita nyingine kubwa na ngumu ya ubingwa kule Morocco akichuana…
NYOTA wa maafande wa Polisi Tanzania, Naku Kazimoto amesema licha ya kutoifikia rekodi yake ya mabao ya msimu wa 2024-2025, ataendelea kupambana…
MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William amefikisha mabao sita ya Ligi Kuu Bara msimu huu akiwa na kikosi hicho sawa na aliyofunga…
KOCHA Mkuu wa Hausung FC ya Njombe, Selemani Kitunda Simota ‘Guardiola’, amesema licha ya timu hiyo kutokuwa na mechi yoyote hadi Aprili…
BAADA ya siku moja ya mapumziko mafupi, Simba SC imefanya kurejea rasmi katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo muhimu wa Ligi Kuu…
MSEMAJI wa Yanga SC, Ally Kamwe amesema ushindani dhidi ya Simba SC msimu huu umeongezeka kwa kiwango kikubwa tofauti na msimu uliopita,…