Trending Stories
View All
SIRI YATOBOKA CHAMA KUFUNGA BAO LA HISTORIA KARIAKOO DABI
KIUNGO mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama amesema bao lake la kuvutia alilofunga kwenye dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga…
CHAMA AKATA MZIZI WA FITINA SIMBA
KIUNGO mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama amesema wao kama wachezaji wataendelea kupambana hadi dakika ya mwisho kuhakikisha timu hiyo…
MBIO ZA KWENDA UTURUKI ZAZIDI KUNOGA KWENYE EUROPA LEAGUE
Europa League kule Ulaya inazidi kunoga ambapo mechi za mkondo wa kwanza zilimazika vyema, huku sasa ni mechi za mkondo…
OKELLO AFUNGUKA SIRI YA USHINDI WA YANGA DHIDI YA KMC
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello amesema ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya KMC haukuwa rahisi licha ya timu…
BAADA YA PEDRO KUONDOKA, BUBA KIKAANGONI
MAISHA ya winga wa Yanga SC, Buba Jammeh, ndani ya kikosi hicho yanaonekana kuingia kwenye wakati mgumu baada ya kushindwa…
RUDIGER ATUHUMIWA KUMPIGA ALVARO CARRERAS MAZOEZINI
MADRID, HISPANIA: HALI ya sintofahamu ndani ya Real Madrid imezidi kuwa mbaya baada ya kufichuliwa kwa jina la mchezaji aliyedaiwa kupigwa…
ASTON VILLA NA NOTTINGHAM KUPIGANIA FAINALI YA EUROPA LEAGUE
BIRMINGHAM, ENGLAND: KATIKA usiku mdogo wa Ulaya, macho yote ya mashabiki wengi wa soka yataelekezwa Villa Park ambapo Aston Villa watakuwa…
OKELLO NA ABUYA WABAKI KWENYE KIVULI CHA MPANZU
VITA ya kuwania taji la mchezaji mwenye pasi nyingi za mabao kwenye Ligi Kuu ya NBC 2025/26 imezidi kupamba moto…
YANGA YATIBUA USINGIZI WA SIMBA SC, YAMUWINDA WINGA WA IVORY COAST
WAKATI dirisha kubwa la usajili bado halijafunguliwa rasmi, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC wameanza kuonyesha dalili…
BARKER AANZA USAJILI KWA KASI, BANCE APEWA KIPAUMBELE SIMBA
UONGOZI wa Simba SC umeanza harakati za kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao, huku Kocha Mkuu, Steve Barker, akitajwa kuanza…
MCHEZO UNANOGA ZAIDI UNAPOKUPA NAFASI YA KURUDI UPYA
Wachezaji wengi wanafahamu hisia ya kukosa kwenye mchezo na kuondoka mikono mitupu. Lakini Meridianbet wameleta njia mpya ya kuangalia mchezo,…
CHAMA NI HATARI AIPA SIMBA POINTI TATU MUHIMU MBWENI
SIMBA SC imeendelea kushikilia nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi mwembamba…
KOCHA PEDRO ATIMULIWA RASMI YANGA SC
UONGOZI wa Klabu ya Yanga SC umetibua hali ya hewa ya soka la Tanzania baada ya kutangaza rasmi kumfuta kazi…
YANGA YACHANJA MBUGA, OKELLO AIZAMISHA KMC
YANGA imeendelea kuchachamaa katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi muhimu wa…
MBINU ZA MAKOCHA, JE ZITAAMUA NUSU FAINALI YA UCL
Mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League kati ya Bayern Munich na Paris Saint-Germain unaweza…
SARE YA GONCALVES, KISASI NA KANUNI YA BARKER
DAKIKA 90 za mechi baina ya KMC dhidi ya Yanga itakayochezwa leo Jumatano saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa KMC…